ZA KALE
Jumamosi, 11 Juni 2016
MUHAMED ALI AZIKWA
Alhamisi, 9 Juni 2016
LUNINGA YA ZBC NDIO LUNINGA KONGWE YA RANGI BARANI AFRIKA
KUMBE BINADAMU WA KALE ALIISHI TANZANIA
Nyayo za mtu wa kale zilizogunduliwa eneo la bonde la ufa eneo la Ngorongoro mkoa Arusha pamoja na fuvu la binadamu wa kale imekuwa ni uthibitisho wa kuamini kuwa wapo binadamu wa kale kabla yetu waliishi katika eneo hilo
SITI BINT SAAD MWANAMKE WA KWANZA AFRIKA KURIKODI NYIMBO ZAKE KWENYE SANTULI
ALIYEWAHI KUWA DIKTETA AKIWA NA UMRI MDOGO KULIKO MADIKTETA WATE DUNIANI
UNAJUA MWANZO WA KUTUMIANA KADI?
Inaaminika Bwana Herny Cole ndie mbunifu wa kadi kwenye msimu wa Krismas ya mwaka 1840 huko Uingereza. Baada ya kuitangaza na watu kuelewa ilianza kutumika rasmi mwaka 1843 ambapo iliuzwa kwa thamani ya shilingi 1. Tangu hapo utamaduni huu uliendelea na kushika kasi hadi leo watu hutumia kadi kama sehemu ya mualiko wa harusi, maulidi na hata mazishi ya watu mashuhuri. KUMBE MUZIKI NI SILAHA!!!!
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)